ZAIDI YA TSH.BILIONI 2.8 ZATUMIKA UNUNUZI WA VIFAA WEZESHI KWA WANAFUNZI WENYE MAHITAJI MAALUM 18,488 KOTE NCHINI.

Barnabas Kisengi, Dodoma.Januari 14 ,2021 Katika kuhakikisha kila mtoto anapata elimu bora bila kujali hali aliyonayo,serikali imenunua vifaa wezeshi vyenye thamani  ya zaidi ya Tsh.Bilioni 2.8  vitakavyonufaisha wanafunzi wenye mahitaji Maalum 18,488 kote nchini. Akizungumza leo Januari 14,2021  katika zoezi la uzinduzi wa vifaa hivyo wezeshi kwa wanafunzi wenye mahitaji maalum ,zoezi ambalo limefanyika Shule