Barnabas Kisengi, Dodoma.Januari 14 ,2021 Katika kuhakikisha kila mtoto anapata elimu bora bila kujali hali aliyonayo,serikali imenunua vifaa wezeshi vyenye thamani ya zaidi ya Tsh.Bilioni 2.8 vitakavyonufaisha wanafunzi wenye mahitaji Maalum 18,488 kote nchini. Akizungumza leo Januari 14,2021 katika zoezi la uzinduzi wa vifaa hivyo wezeshi kwa wanafunzi wenye mahitaji maalum ,zoezi ambalo limefanyika Shule
Copy and paste this URL into your WordPress site to embed
Copy and paste this code into your site to embed